VODACOM FOUNDATION WAENDESHA KAMPENI YA KUPIMA AFYA - MOSHI
Dr. Yakubu Sanga (kushoto) akimhudumia msanii maarufu wa televisheni Bi. Kiroboto alipofika katika viwanja vya Hindu Mandal mjini Moshi kupata tiba, kwenye kambi ya afya inayoendeshwa na Chama Cha Madaktari Tanzania na mabalozi wa Afya kwa udhamini wa Vodacom Foundation.
Dr. Nazeem Shabir (kushoto) akimpima Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule katika viwanja vya Hindu Mandal mjini Moshi kupata tiba.
No comments:
Post a Comment