Waziri wa maliasili na Utali Mh. Balozi Khamis Kagasheki akizungumza katika uzinduzi wa Mkakati wa mpya wa Utangazaji wa Kimataifa wa Utalii wa Tanzania (International Marketing Strategy For Tanzania)mpango uliozinduliwa jioni hii na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam na kujumuisha wadau mbalimbali wanaojihusisha na masuala ya utalii ambapo Waziri Kagasheki ameuzindua rasmi.
(PICHA NAWWW.FULLSHANGWEBLOG,COM)
Waziri wa maliasili na Utali Mh. Balozi Khamis Kagasheki akikata utepe katika kitabu kinachoelezea mkakati wa kutangaza utalii wa utalii wa Tanzania kimataifa kutoka kulia ni Bw. Gaudence Temu Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Utalii Tanzania (TCT), Ahmad Khatib Kamishna wa Utalii na kushoto ni Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Dkt. Aloyce Nzuki.


Bw. Gaudence Temu Mwenyekiti wa Shirikisho la vyama vya Utalii Tanzania (TCT) akielezea mkakati wa kutangaza utalii wa Tanzania kimataifa kwa wadau wa masuala ya utalii waliohudhuria katika uzinduzi huo.
No comments:
Post a Comment