Friday, 9 November 2012

RAIS JAKAYA KIKWETE AWASILI DODOMA KWA AJILI YA VIAKO WA CHAMA CHA MAPINDUZI PAMOJA NA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA VIONGOZI WA KITAIFA WA CHAMA CHA CCM.

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Mkewe Mama Salma Kikwete muda mfupi kabla ya kuondoka kuelekea mjinji Dodoma ambapo ataongoza mkutano Mkuu wa CCM.

 
Rais Jakaya Kikwete akiongea kitu na Mama Salma Kikwete baada ya Kuwasili Dodoma ili kushiriki katika Uchaguzi wa kuwapata Viongozi wa Juu Kitaifa wa Chama Cha Mapinduzi.

No comments:

Post a Comment