Thursday, 15 November 2012

SEKRETARIETI MPYA YA CCM YATANGAZWA MJINI DODOMA.

Abdulrahman Kinana-Katibu Mkuu
Sekretarieti mpya ya CCM imetangazwa jana mjini Dodoma, na Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete baada ya uteuzi wake kuidhinishwa na Kikao Cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kilichokutana kwa mara ya kwanza mjini Dodoma. tangu uchaguzi mkuu wa CCM ufanyike.
 
Mwigulu Nchemba-Naibu Katibu Mkuu, Bara
 
Vuai Ali Vuai-Naibu Katibu Mkuu-Zanzibar
 
Nape Nnauye-Katibu Mwenezi
Asha-Rose Migiro-Siasa na Uhusiano wa Kimataifa
 
Zakia Meghji-Uchumi na Fedha

No comments:

Post a Comment