Wednesday, 27 February 2013

WIZI WA MTANDAO KUPITIA ATM

watu wanne washikiriwa na jeshi la polisi wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa tuhuma za kukutwa na ATM card 150 za Benki ya NMB na rist ya majina na namba za siri za kadi hizo usiku wa kuamkia leo na kufanikiwa kuchukua pesa kiasi cha TSH 20,543,200/=

watu wanne washikiriwa na jeshi la polisi wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa tuhuma za kukutwa na ATM card 150 za Benki ya NMB na rist ya majina na namba za siri za kadi hizo usiku wa kuamkia leo na kufanikiwa kuchukua pesa kiasi cha TSH 20,543,200/

No comments:

Post a Comment