Thursday, 14 February 2013

VITAMBULISHO VYA TAIFA KWA UPANDE WA ZANZIBAR AWAMU YA KWANZA WAANZA RASMI.

06246 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Kitambulisho cha Taifa kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Perera Ame Silima,wakati wa
  Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa
Zanzibar,katika  hafla iliyofanyika jana  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_0018 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraz la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikaribishwa na Mkurugenzi Mkuu wa vitambulisho vya Taifa,Dicson Maimu,alipowasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,katika Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9473 
Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khamis Haji,akiweka kidole Gumba kufanya uhakiki katika mashine maalum,wakati wa Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9486 
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Pandu Ameir Kificho,akiweka kidole Gumba kufanya uhakiki katika mashine maalum,wakati wa Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9496 
Baadhi ya Viongozi na Wananchi,na Wafanyakazi wa Mamlaka ya vita mbulisho wakiwa katika hafla ya  Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9511 
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania,Jenerali Devis Mwamunyange, akiweka kidole Gumba kufanya uhakiki katika mashine maalum,wakati wa Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9735 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi,wakati wa   Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,  hafla ilifanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9741 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho Jaji Mkuu wa Tanzania,Mohamed Chande Othman, wakati wa   Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,(kushoto) Naibu waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Perera Ame Silima,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] 
IMG_9753 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho Jaji Mkuu wa Zanzibar,Omar Othman Makungu,wakati wa   Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya  kwanza kwa upande wa Zanzibar,katika hafla iliyofanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_9779 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) akimkabidhi kitambulisho Mama Maria Nyerere,wakati wa   Utoaji wa vitambulisho vya Taifa,awamu ya kwanza kwa upande wa Zanzibar,  hafla ilifanyika jana katika  viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani, Nje ya Mji wa Zanzibar,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment