Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein akikunjuwa kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Barabara ya Mfenesini Bumbwini iliojengwa na Kampuni ya Mecco,ikiwa ni katika shamra shamra za kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein wamwanzo kulia akikata utepe pamoja na Mwakilishi Mkaazi wa Benki ya Maendeleo ya Africa (AFDP)Tonia Kandiero katika ufunguzi wa Barabara ya Mfenesini Bumbwini iliojengwa na Kampuni ya Mecco,ikiwa ni katika shamra shamra za kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein katikati akitembea kwa Miguu katika Barabara ya Mfenesini Bumbwini baada ya kuifungua rasmi,ikiwa ni katika shamra shamra za kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Barabara ya Mfenesini Bumbwini iliojengwa na Kampuni ya Mecco,ikiwa ni katika shamra shamra za kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein akifafanua jambo wakati akitoa hotuba ya ufunguzi wa Barabara ya Mfenesini Bumbwini iliojengwa na Kampuni ya Mecco,ikiwa ni katika shamra shamra za kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein akiwa katika Picha ya Pamoja na Viongozi pamoja na Watendaji wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano katika Ufunguzi waBarabara ya Mfenesini Bumbwini iliojengwa na Kampuni ya Mecco,ikiwa ni katika shamra shamra za kuadhimisha miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
NA Fullshangwe Blog.
No comments:
Post a Comment