Friday, 25 January 2013

Kamati ya Bunge ya Maliasili na Mazingira yakutana na Watendaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais

_DSC0391Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akitoa Maelezo ya Matumizi ya Bajeti ya Nusu  Mwaka wa Fedha 2012/2013 Mbele ya Kamati ya Bunge ya Maliasili na Mazingira Kwenye Ofisi za  Bunge Jijini Dar es Salaam.
_DSC0379 
Wajumbe wa kamati wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Dk Tereyza Huvisa  kikao hicho kilichofanyika kwenye ofisi za Bunge Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment