Tuesday, 11 December 2012

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA( TCRA) WAPO MKOANI MBEYA KUPIMA MIONZI YA MINARA YA MAWASILIANO

Baadhi ya wataalamu toka mamlaka ya mawasiliano Tanzania wakiwa katika kupima kiwango cha mionizi ya minara ya mawasiliano mkoani Mbeya hapa ni eneo la ofisi za jiji la mbeya

Hii siyo Mic yaani cha kusemea bali ni moja ya vifaa vya kupimia mionzi ya minara ya mawasiliano hapa nchini





No comments:

Post a Comment