Thursday, 6 December 2012

HARUSI YA FESTO NA ELIZABETH YAFANA JIJINI MBEYA


Bwana Festo Ngonela  ni mtumishi wa CRDB BANK na Bi Elizabeth Malimbwi yeye ni mwalimu Mbalizi wakiwa mwili mmoja sasa mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la mtakatibu Anthon wa paua jijini mbeya
Bi harusi akimvisha pete mumewe kuwa mili mmoja
Bwana Festo na Bi Elizabeth wakiwa na nyuso za furaha katika ukumbi wa Rehema jijini Mbeya
Wakiwa na wapambe wao ukumbini hapo
Maharusi wakiwa katika picha ya pamoja na kamati nzito ya harusi yao
Hakika wamependeza maharusi wetu.

No comments:

Post a Comment